Rasi Delgado

Rasi Delgado katika Msumbiji

Rasi Delgado (kwa Kireno: Cabo Delgado) ni rasi mwambaoni mwa Bahari Hindi iliyoko kaskazini kabisa mwa pwani ya Msumbiji.

Rasi Delgado iko takriban km 40 kusini kwa mji wa Mtwara, Tanzania. Mji mdogo wa Quionga umo rasini.


From Wikipedia, the free encyclopedia ยท View on Wikipedia

Developed by Tubidy